Je,unauzito mkubwa na hujui utapunguaje,unakitambi hujui namna ya kukiondoa. Fuatilia makala hii na upate suluhisho

 

*PROGRAMME MAALUMU YA KUPUNGUZA UZITO/ UNENE* 


Program hii imepewa jina maalumu na kufungashiwa virutubisho takribani vya aina nne tofauti vikiwa Vitano kwa idadi yake ndani ya kifungashio hiki Chenye jina *SUMA FIT*


  Ndani ya program hii kuna virutubisho vinavyo msaidia mtu na kuwa chakula mbadala baada ya kupatikana na shida flani iliyopelekea kuwa na sumu , mafuta na  uzito uliopitiliza 


 Pia program hii itakusaidia mambo kadhaa kama yafuatayo 👇


🟢 Kuondoa sumu mwilini 

🟢 Kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini 

🟢Kupunguza sukari iliyozidi mwilini 

🟢 kukusaidia shida ya vidonda vya tumbo 

🟢 Kukusaidia hali ya tumbo kuvurugika baada ya mlo flani 

🟢 Kuusidia mwili kupata chakula bila kuzidisha mafuta na sukari vinavyopelekea unene ama uzito mkubwa kuliko kiwango cha BMI kinachostahili 


*PROGRAM HII INA VIRUTUBISHO HIVI*?👇


● *Elements* (2)

- kirutubisho hiki kina vitamin na madini mhimu 

- kinauwezo mara tatu ya kupambana na hali ya njaa ( triple satiety factor to curb hunger)


● Veggie veggie (1)

- Kirutubisho kwaajili ya kuondoa sumu mwilini 

- Huboresha mmeng'enyo wa chakula 

- Pia Husaidia kupunguza mafuta yaliyozidi mwilini 


● Probio3 (1) 

-  Inaponesha majeraha katika tumbo hadi kwenye utumbo 

-Husaidia kuunguza mafuta yaliyozidi kwenye tumbo 

- Inaboresha mazingira mazuri ya tumbo tayari kwaajili ya virutubisho vingine kufanya kazi kiurahisi 

-Huzuia kuzaliana kwa bacteria wabaya tumboni 


● Ez xlim Tablets (1)

-Inarekebisha kiwango cha sukari kwenye damu 

-Huunguza mafuta yanayozidi kwenye damu 

-Husaidia mwili kupunguza kasi ya ufyonzaji wa mafuta na sukari mwilini 


      Hizi ni baadhi ya kazi ya virutubisho hivi kulingana na lengo letu la kupunguza uzito 


*HATUA ZA KUPUNGUZA UZITO*


Utafiti ulifanyika juu ya utumiaji sahihi wa virutubisho ili kupunguza uzito bila kuacha madhara umezaa hatua nne kama zinavyo onekana hapo chini 👇


💧 *Kuondoa sumu*

💧 *Kutengeneza ama kuweka sawa mfumo wa chakula*

💧 *Kuzuia ufyonzaji wa mafuta, sukari inayozidi mwilini*

💧 *Kurekebisha utendaji kazi wa mwili na shughuli za metabolism.*


Kwa kufuata hatua hizi unapungua mpaka uzito unaouhitaji wewe ndani ya week nne kwa gharama nafuu kama utakosa mda wa kutumia vyakula na kufanya mazoezi ya kutosha .


*MATUMIZI YATAKUWAJE*?


1. ```SIKU 1-7```

  ▪︎ASUBUHI 

       - Veggie veggie pakiti mbili + maji ya vugu vugu kwenye 150ml


  ▪︎MCHANA 

       - Ez xlim vidonge vitatu ( 3) dakika 15 kabla ya kula 


  ▪︎JIONI 

     - Element pakiti moja + maji ya vugu vugu kwenye 150ml


2. ```SIKU YA 8-28```

  ▪︎ASUBUHI 

       - Probio3 pakiti 1 + maji ya vugu vugu kwenye 150ml 


  ▪︎MCHANA 

    -Ez xlim vidonge vitatu dakika 15 kabla ya chakula 


 ▪︎JIONI 

     - Elements pakiti 1 + maji ya vugu vugu kwenye 150ml 


Hapo program itakuwa imeisha kwa namna hiyo na utakuwa umepata suruhisho lako sahihi la kupunguza uzito.



*Kwa Ushauri Zaidi Tafadhari Fika Kwenye Kituo Chetu Cha Kutolea Huduma Kilichopo Mlimani City au Tupigie Kupitia.0719197319.*

Chapisha Maoni

0 Maoni