Karibu sana upitie tangazo hili hadi mwisho
𝐇𝐢𝐯𝐢 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐡𝐮𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚𝐣𝐞 𝐌𝐔𝐃𝐀 𝐰𝐚𝐤𝐨?
-
𝐍𝐚 𝐧𝐢 𝐌𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐠𝐚𝐧𝐢 𝐡𝐚𝐬𝐚 𝐡𝐮𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚 𝐊𝐮𝐲𝐚𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮?
-
Hebu Chukulia Mfano Kama Endapo utaweza kutengeneza Tsh 1/- tu kila Sekunde Ina maana kwamba ndani Dakika Moja utatengeneza Tshs 60 na ambapo kwa lisaa 1 utakuwa umetengeneza kiasi Cha Tshs 3,600 (Si ndiyo?) kwahiyo Jumla kwa Siku nzima utakuwa unatengeneza Tshs 86,400/- Na hata ikitokea unatengeneza Robo Senti (¼) kila Sekunde kwa Siku Utakuwa unatengeneza Tshs 21,600/-, Je! Kwa siku wewe huwa unaingiza Tshs ngapi au unataka kuwa unaingiza kiasi gani.?
Sasa Nadhani Unaweza ukajitathimini ni kwa namna gani huwa unautumia muda wako.
𝐌𝐔𝐃𝐀 𝐇𝐮𝐤𝐢𝐦𝐛𝐢𝐚 𝐒𝐚𝐧𝐚 𝐏𝐚𝐥𝐞 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐩𝐨𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐧𝐚 haraka,Muda Huchelewa Sana pale tunapokuwa na matatizo,Muda hupotea Sana pale tunapokuwa tumeboreka,Muda uliopotea Hauwezi kurudishwa lakini pia Muda hupotea pale tunapokuwa tunafanya Mambo yaleyale kila Siku.Swali ni je! Unautumiaje MUDA wako?
-
𝐔𝐧𝐚𝐣𝐮𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐚𝐚 𝐦𝐚𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐊𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐍𝐝𝐞𝐠𝐞 𝐍𝐢 𝐓𝐨𝐟𝐚𝐮𝐭𝐢 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚 𝐧𝐚 𝐌𝐚𝐬𝐚𝐚 𝐦𝐚𝐰𝐢𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐁𝐚𝐬𝐢,𝐍𝐚 𝐒𝐢𝐤𝐮𝐳𝐨𝐭𝐞 𝐌𝐔𝐃𝐀 𝐇𝐮𝐤𝐢𝐦𝐛𝐢𝐚 𝐒𝐚𝐧𝐚 𝐩𝐚𝐥𝐞 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐩𝐨 𝐮𝐦𝐫𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐨𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚,𝐉𝐢𝐮𝐥𝐢𝐳𝐞 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐔𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐚𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐚𝐩𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐒𝐚𝐬𝐚?.
-
Nimekuandalia Darasa/kozi maalumu kabisa itakayokwenda kuyabadili Maisha yako na kukufanya Uongeze thamani katika kila (Sekunde) ndani ya kila Dakika na katika kila (Dakika) ndani ya kila Saa.
🌀 𝐔𝐭𝐚𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐟𝐮𝐧𝐳𝐚 𝐌𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐲𝐚𝐟𝐮𝐚𝐭𝐚𝐲𝐨.
✓1.Jinsi ya Kugeuza muda kuwa Pesa.
✓2.Maeneo 5 ya kuwekeza muda wako.
✓3.Jinsi ya kujenga nidhamu ya muda.
✓4.Kanuni 6 za Kwenda na Muda.
✓5.Mambo 8 yanayopoteza muda.
✓6.Jinsi ya Kuacha kughairisha Mambo.
✓7.Siri kuu (3) Kuhusu Muda (Ukweli)
Darasa hili litafanyika Online kwa Njia Ya WhatsApp kwa Siku (3) mfululizo na watu kumi wa Mwanzo kulipia watachagua Kupatiwa Zawadi ya E-books au Ushauri wa Biashara Bure kabisa (Kumi tu!)
📍litaanza Tarehe: 22-02-2021
📍litaisha Tarehe: 23-02-2021
Ⓜ️ *Muda:Saa 2-4 Usiku*
𝐀𝐝𝐚 𝐧𝐢 𝐓𝐬𝐡𝐬 20,000/- 𝐭𝐮! 𝐊𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮
Namba za Malipo na Jinsi ya kujisajili:-
📞 0755-256-039 𝐕𝐨𝐝𝐚𝐜𝐨𝐦
📞 0676-326-690 𝐓𝐢𝐠𝐨𝐩𝐞𝐬𝐚
____________________________________
Kumbuka: Darasa Hili ni kwa ajili ya watu wachache wanaotaka kuongeza thamani kwenye maisha Yao ndani ya kila Sekunde,Kila dakika na kila Saa,Wahi Mapema kwani nafasi ni Chache Mno Usikubali Upitwe na kozi hii.
0 Maoni