![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEil2B-FupDTYSTMNlrwPRjVU37_ff4LOHkVwwY_7rqS0w4ThiVmuSTZK8PF47VKejbbg6Pk5Isge_teu25Rluq3Tbu4Ml7ynz0UTrvod34ewEx3DqYyzbXZz2BxGfEVrg5xzJF30NP0iZql/s320/IMG-20210215-WA0029.jpg)
(Fursa kwako kijana) Maana ya BFSuma ni -: B- Bright ,, F-Future ,, S- Superior ,, U-Unique, M-manufacturer of A -America... Mnamo mwaka 1993- bfsuma walianzia Hongkong {China} {kama kampuni ya kuzalisha madawa} kama kampuni ya kuzalisha madawa ya mifupa na viungo {bones &Joints}.. ``` ```Mnamo mwaka 1995 - kampuni ilipanuka na kufungua kiwanda Marekani katika Jiji LA Gharama kuishi Los Angeles na kuweka kiwanda Cha Kuzalisha Virutubisho {food Supplement}... ''''Mnamo mwaka 2000:- kampuni ilipewa Vibali na Vyeti Vya kutambua Ubora wao kama :- G.M.P {Good Manufacturing Practice} na FDA {Food and Drugs Adminstration},,baadae kampuni tena ikaendelea kupata Vibali kama G.L.P {Good Laboratory Practise } na Halal:- kibali cha utambuliz kwa jamii ya kiislamu na imani kuwa halali kwa matumizi.``` ```2004:- Waliweza kufungua soko lao Africa kupitia nchi iitwayo Benin 2011:- kampuni ilisogea hadi nchi jirani ya Kenya na kutua Afrika Mashariki...ambako imezaa vyema na kustawi sana hadi sasa.. 2012:- Waliweza kuingia Tanzania na kusajiliwa kisheria na kufanikiwa kupata kibali cha TFDA,makao makuu ya TANZANIA Yako Dar es Salaam MIKOCHENI ambapo walinunua jengo la Ghorofa .. Mnamo mwaka 2013:- waliweza kuingia Uganda,Nigeria ,Zambia na wanaendelea kupanua masoko yao katika nchi zingine za Africa... Bfsuma Africa ,wako na wanachama au wasambazaji wasio pungua 10,000 na sasa ni zaidi .......... •BFsuma we care ,we share.....•``` {TRAINING TIME} Makundi Ya Bidhaa Ya BFsuma... •♠Bidhaa za Mifupa na Viungo kama:: 1.Gluzojoint Capsule 2.Zaminocal Capsule 3.Arthroxtra Tablets 4.Arthrostreth Tablets 5. Dr Cow Calcium Milk Candy. •♠ Bidhaa za Kuongeza kinga za Mwili na kutibu kansa. 1. Pure & Broken Ganoderma Spores.. 2. Refined Yunzhi Capsule.. 3. Spirulina Capsules 4.Immunstrong Colostrum Powder 5. IMMUNE COFFEE @4 in 1 Reish Coffee @4 in 1 Ginseng Coffee @4 in 1 Cordyceps Coffee •♠ Bidhaa za Mmeng'enyo Wa Chakula Tumboni na Kutibu Vidonda Vya Tumbo.... @Constirelax Solution @antidiarr Pills. @Novel depile Capsules. •♠Weight Management./ Bidhaa za Kupunguza Unene. @Xlim Express Capsules/Coffee.... @Xlim Constant Capsules/Coffee.... •♠ Bidhaa za Kuongeza hamu/ Nguvu za Tendo LA Ndoa na Kutibu matatizo yote ya kizazi na tezi dume.... @Manxtra tablets @Xpower man Capsules @Prostatrelax Capsules. •♠Bidhaa za Kutibu maradhi ya moyo(pressure,kisukari,kupooza,mzunguko Wa damu, kupunguza kolesto, kumbukumbu,macho n.k).. "Cardiovascular health" @Micro2 Cycle Tablets @Cerebrain Tablets @Glugogone capsules @Pressure Free Tea. •♠ Bidhaa za Matumizi Binafsi na Usafi/ Personal Care.... @ Femicare @Soap -anatic herbal essence soap -ferminegy ```NB- Bf Suma ndio wanaoongoza kwa Utafiti ,maabara, kuzalishia na kusambaza Bidhaa asili za thamani na viwango vya kimataifa juu na matumizi ya tecknolojia 5 bora za kisasa isiyo haribu uasilia:- Nazo ni :- 1.Amino Acid Chelation Technology (AAC). 2. Combine Cryo-Enzym & Dua - Micronization Technology. 3. Nano- Transderm Technology. 4. Macroporous Absorption Resin Technology. 5. Membrane Tech.. ******** ******* ****** Namna ya kuwa mwanachama wa Bfsuma na maelezo ya kulipwa kwako.....``` ```1. Kujiunga ni Shs 46,000 /= Tshs.. Utapata kitu kinaitwa "Starter kit" ambayo ni:- @Kadi ya Uanachama @Kitabu cha Bfsuma maelezo + mfumo Wa malipo+ Bidhaa zake zote. @Bidhaa moja ya kutumia kama mwanachama ambayo ni kahawa moja inaitwa Reish au Cordycepys Coffee au Ginseng unapata Sachet 10 ndani.. @beji ya Kampuni ambayo unaivaa kwa juu ya nguo ni kipini kidogo..``` ***** ******** ********* ```Baada ya kujiunga hivi vifuatazo ni... Faida 8 Utakazopata (kulipwa)....74%. 1. Faida ya Reja reja 20% ,, pale unapomshirikisha jamaa+ ndugu+ rafiki+ kaka dada weka faida kama hivi bidhaa inauzwa 10,000 weka 10,000 jumla ni 20,000 ile 10,000 inayoongezeka ni faida yako kaa nayo mfukoni kampuni haiusiki hapo .... 2..(O.P.B) haya ni malipo yatokanayo na manunuzi yako binafsi na manunuz ya kila MTU kwenye mtandao wako na ni asilimia 5% hadi 28% ukiwa unapanda madaraja... 3.(L.D.B) haya ni malipo ya ziada utakayolipwa kwa kukutambua kama Kiongozi wa Mtandao wako 25%.. 4..(L.S.B) pia haya ni malipo mengine ya ziada kwa juhud zako za kuwaunganisha watu wengi chini ya wale watu wako watatu uliowaunganisha kila mmoja utafaidika asilimia 6.5%. 5.Special Cash Support:-haya pia ni malipo mengine ya ziada kutokana na Mauzo ya timu yako yote pamoja hapa unaongezewa dola 50 kwa kufanya point 1500 wewe na Team yako na hii ni maalum kwa watu wa star 4 tu hapa unalipwa Mara 3 yani miezi 3 tu ,ukipanda daraja hii haikuhusu... Pia kwa Star 7 leader kampuni inakuongezea malipo ya 3% ya ziada kwa kufanya point 1500 na hii pia unalipwa Mara 3..unachotakiwa ni kukidhi Vigezo na masharti.... 6..(L.G.B) Malipo Mengine ya Ziada kutoka kwa faida za Bfsuma wanapata kila mwezi duniani kote nazo ni 3% utapewa kila mwezi.. 7..{L.T.F} kila atakaye fanya Point 40,000 na team yake ndani ya mwaka 1,kampuni itakukupeleka Safari ya kimataifa ambayo ni holiday ya wiki moja kila mwaka kwa gharama zote za kampuni zaidi ya million 4 au Mil 8 ,milango iko wazi kwa yeyote aliyejiunga hata wewe unaweza kwenda ,,hii inatokea kila mwaka kwa wanachama kwenda Hongkong ,Amerika los Angels ,Visima Vya Hawaii , Dubai yani unaenda huko kula bata na kufurahia maisha 😊😊.... 8..(L.C.F} kampuni inatoa Machine (magari ya aina mbili) Gari aina ya Prado au Range lenye thamani Tshs 50,000,000\= au 25,000 $USD na 12500O/25million kama Harrier au SUV cars ,,hapa utaipata kila baada ya miaka 1 kila anayejiunga anatakiwa kufanya point 120,000 kwa mwaka yeye na team yake...kama una ndoto ya kuendesha Magari ya Nguvu Mapya hii ni fursa yako kila mwaka utapata gari ,ndiyo kila mwaka bfsuma inatoa magari ,,,,sasa hii ni Fursa iko wazi kwa kila mwanachama hata wewe uliyejiunga Leo,,Pigana.. piga kazi utaona mafanikio``` ```NB: Hizi faida 8 una fursa bora ya kuzipata ndani ya mwaka 1 au 2 au 3 au 4 au hadi 5 kwa ujumla Bfsuma wanalipa hadi asilimia 74% ya faida wanayopata kila mwezi... Kumbuka kupitia Bfsuma unafursa ya nzuri sana ya kutimiza Ndoto zako za maisha kwa muda usiozidi miaka 5 , upate magari + Safari za dunia kando na bonus ya Uhuru wa Fedha au (salary) kila mwezi............. KARIBU BF SUMA....wa.me /+255763132806 kwa maelekezo zaidi..
0 Maoni